Monday, October 7, 2013
BARCLAYS PREMIER LEAGUE TABLE
| POS | LP | CLUB | P | W | D | L | GF | GA | GD | PTS | |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 | (2) | Arsenal | 7 | 5 | 1 | 1 | 14 | 8 | 6 | 16 | |
| 2 | (1) | Liverpool | 7 | 5 | 1 | 1 | 11 | 5 | 6 | 16 | |
| 3 | (6) | Chelsea | 7 | 4 | 2 | 1 | 10 | 4 | 6 | 14 | |
| 4 | (7) | Southampton | 7 | 4 | 2 | 1 | 7 | 2 | 5 | 14 | |
| 5 | (3) | Manchester City | 7 | 4 | 1 | 2 | 17 | 8 | 9 | 13 | |
| 6 | (4) | Tottenham Hotspur | 7 | 4 | 1 | 2 | 6 | 5 | 1 | 13 | |
| 7 | (5) | Everton | 7 | 3 | 3 | 1 | 10 | 9 | 1 | 12 | |
| 8 | (8) | Hull City | 7 | 3 | 2 | 2 | 6 | 7 | -1 | 11 | |
| 9 | (9) | Manchester United | 7 | 3 | 1 | 3 | 10 | 9 | 1 | 10 | |
| 10 | (10) | Aston Villa | 7 | 3 | 1 | 3 | 9 | 8 | 1 | 10 | |
| 11 | (11) | Newcastle United | 7 | 3 | 1 | 3 | 9 | 12 | -3 | 10 | |
| 12 | (12) | West Bromwich Albion | 7 | 2 | 3 | 2 | 7 | 6 | 1 | 9 | |
| 13 | (18) | West Ham United | 7 | 2 | 2 | 3 | 7 | 5 | 2 | 8 | |
| 14 | (13) | Cardiff City | 7 | 2 | 2 | 3 | 7 | 9 | -2 | 8 | |
| 15 | (14) | Swansea City | 7 | 2 | 1 | 4 | 8 | 11 | -3 | 7 | |
| 16 | (16) | Stoke City | 7 | 2 | 1 | 4 | 4 | 7 | -3 | 7 | |
| 17 | (17) | Fulham | 7 | 2 | 1 | 4 | 5 | 9 | -4 | 7 | |
| 18 | (15) | Norwich City | 7 | 2 | 1 | 4 | 5 | 9 | -4 | 7 | |
| 19 | (19) | Crystal Palace | 7 | 1 | 0 | 6 | 5 | 13 | -8 | 3 | |
| 20 | (20) | Sunderland | 7 | 0 | 1 | 6 | 5 | 16 | -11 | 1 | |
| POS | LP | CLUB | P | W | D | L | GF | GA | GD | PTS |
Sunday, October 6, 2013
Latest Scholarship and Fellowship Opportunities
The
Graduate School of Business at UCT offer five annual Bertha MBA
Scholarships to students that have met the requirements for the MBA
programme and who are driven by their pursuit in social or green
ventures… More
The
Developing Solutions Scholarship Fund will reach out to students who
have the potential to make a real difference to the development and
prosperity of their home countries… More
The NGS Scholarship is awarded to talented students with an aptitude for innovative, high calibre PhD research… More
The
new Academic Excellence International Masters Scholarship supports
overseas students who are funding their own studies at the University of
Essex… More
ZAO LA MTAMA LAPATIWA UFUMZUZI MKOANI SINGIDA
Na, Doris
Meghji Jumanne Julai 23,2013
Singida
Serikali mkoani
singida imeziagiza mamlaka za serikali za mitaa kuongeza juhudi katika
kuwawasidia wananchi wake kwa halmashauri
hizo kununua mashine tano za kupura zao la mtama ikiwa ni moja ya jitihada za kutatua
changamoto zinazolikabili zao
hilo kwa uzalishaji kuleta
tija likiwa ni zao la kipaumbele mkoani Singida
Mkuu wa mkoa wa
Singida Dr. Parseko Kone ametoa agizo hilo katika kikao cha wadau wa maendeleo
kikao ambacho kililenga kuwawezesha wananchi kupunguza upotevu wa zao la mtama
baada ya mavuno kutokana na teknolojia duni zinazotumika katika kupura na
kuhifadhi zao hilo.
“nimefuatilia
wananchi wa singida wanapata shida sana wakati wa kuvuna mtama au uwele kwa
kupiga ualika watu katika kupura mtama, watu ishirini (20) wanapura gunia mmoja
kwa siku moja ili kuwasaidia wananchi kuachana na adha hiyo ya kupura mtama
tutafute namna ya kupata hizo mashine ambayo mmoja inauzwa shilling milioni 2
kwa kila halmashauri kununua mashine tano(5) na kuziweka makao makuu ya kata
iliyovuna vizuri mazao hayo ya mtama na uwele” alisisitiza Dr. Kone.
Aidha amesema
kupatikana kwa mashine hizo zenye uwezo wa kupura mtama gunia 10 kumi kwa saa
kutasaidiwa wananchi kutumia muda na kuhifadhi mazingira kwa kuwa upuraji wa
mtama kwa njia ya kawaida
utumia matawi ya mti, hivyo matawi ishrini hutumika kupura gunia mmoja la mtama
kwa siku.
Kwa upande wake
katibu tawala msaidizi wa uchumi na uzalishaji Bi Aziza Mumba amezitaja
changamoto mbali mbali zinazolikabili zao hilo kuwa ni upatikanaji mdogo
wambegu bora,athari za magugu hatari yanayoitwa viduha, ndege waharibifu aina
quelea quelea ikiwa ni pamoja na teknologia
duini zinazotumika katika kupura na kuhifadhi mtama inayosababisha upotevu
mkubwa wa mtama kwa kupoteza asilimia 30 ya mazao baada ya mavuno.
Aidha kwa mujibu
wa bi Mumba amesema katika kuogenzea thamani mazao hayo ya mtama na uwele
juhudi mbali mbali zinaendelea,suala la uenezaji wa matumizi ya mashine za
kupura mtama ili kumpuguzia mkulima uzito wa kazi za kilimo.
Mkoa wa singida
katika kipindi cha msimu wa kilimo mwaka 2010/2011 hadi 2011/2012 zaidi ya tani
476090 zilivunwa za mazao ya mtama na uwele
MWISHO.
Thursday, October 3, 2013
DC EDWAERD OLE LENGA - AKATAA TAARIFA YA BARABARA YA WILAYA YA MKALAMA KUJADILIWA KWENYE KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOANI SINGIDA
Na, Doris Meghji Jumatatu Septemba 24,2013
Singida
Singida Mkuu wa wilaya ya Mkalama Edward Lenga amekiomba kikao cha
35 cha bodi ya barabara(ROADBOARD) mkoani Singida kutojadili taarifa
ya utekelezaji wa miradi ya barabara ya Wilaya hiyo kutokana taarifa hiyo kuwa
ya ni ya kupika kwa kuandaliwa na mkurugenzi wa wilaya ya Iramba na sio mkurugenzi
wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama .
Akitoa ombi hilo kwa mwenyekiti wa kikao hicho cha bodi ya
barabara mkoa wa Singida ambaye ni mkuu wa mkoa wa singida DKT. Parseko
Kone mara baada ya taarifa ya miradi ya barabara wilaya ya Mkalama
kusomwa mbele ya mweneyekiti na wajumbe wa kikao hicho mkuu wa wilaya ya
mkalama Bwana Edward Lenga alisema “hakuna kujadili habari juu ya Mkalama
asilimia 53 fedha zimetumika kwa kazi gani? Wakati hakuna miradi yoyote ya
barabara inayotekelezwa wilayani mkalama? Alisema mkuu huyo wa wilaya
Hivyo mkuu huyo wa wilaya amekiomba kikao hicho cha bodi ya
barabara kuunda kamati ili iende kutembelea na kuangalia miradi hiyo ya
barabara iliyoonyeshwa kwenye taarifa hiyo.
Awali akiosoma taarifa hiyo ya wilaya ya mkalama Mbele ya wajumbe wa kikao hicho Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya mkalama bwana Hassan Mwachibuzi alisema katika mwaka wa fedha 2013/2014 wilaya ya mkalama imeidhinishiwa jumla ya shilingi milioni 879,981757.00 kwa ajili ya ukarabati na matengezo ya kawaida,matengenezo ya sehemu korofi ,matengenezo ya sehemu maalum na matengenezo ya madaraja kwa kipindi hicho cha fedha.
Awali akiosoma taarifa hiyo ya wilaya ya mkalama Mbele ya wajumbe wa kikao hicho Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya mkalama bwana Hassan Mwachibuzi alisema katika mwaka wa fedha 2013/2014 wilaya ya mkalama imeidhinishiwa jumla ya shilingi milioni 879,981757.00 kwa ajili ya ukarabati na matengezo ya kawaida,matengenezo ya sehemu korofi ,matengenezo ya sehemu maalum na matengenezo ya madaraja kwa kipindi hicho cha fedha.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya mkalama, mkurugenzi
halmashauri wa wilaya ya mkalama amesema katika ya kipindi cha Julai –
Agosti 2013 toka mfuko wa barabara iliidhinishwa jumla ya shilingi milioni 464
431,450.00 kwa mwaka wa fedha 2012/2013 hadi kufikia Agosti 30, 2013 sawa na
asilimia 100 ya bajeti hivyo hadi sasa jumla ya shilingi million 246,032,563.00
ya fedha zimetumika sawa na asilimia 53 za matengenezo ya barabara iliyopokelewa
wilayani humo.
Hata hivyo kikao hicho kimeridhia kuundwa kwa kamati
itakayokwenda kupitia miradi ya barabara ya wilaya ya mkalama na kuwataka
wajumbe wa kikao hicho toka Mkalama kuainisha miradi ya barabara wanazotilia
shaka lengo ilikiwa ni kurahisisha utekelezaji wa kamati hiyo kwa kuwa wananchi
wanazihitaji barabara hizo kwa maendeleo yao na taifa kwa ujumla.
Wilaya ya mkalama ni moja kati ya wilaya zalizoundwa hivi karibuni ambapo wilaya hiyo umeundwa toka wilaya ya Iramba mkoani singida .
Wilaya ya mkalama ni moja kati ya wilaya zalizoundwa hivi karibuni ambapo wilaya hiyo umeundwa toka wilaya ya Iramba mkoani singida .
Mwisho
Subscribe to:
Posts (Atom)




















































