PICHA NA DORIS MEGHJI
![]() |
| Baadhi ya wadhamini wanachama wa CCM wakiendelea kusaini katika fomu ya udhamini kwa ajili ya kumdhamini Mgombea Edward Lowassa (Picha na Doris Meghji) |
![]() |
| Hivi ndivyo wananchi na wanachama wa CCM walivyojitokeza leo kudhamini Mgombea urais Mh. Edwaerd Lowassa leo katika viwanja vya CCM mkoa wa Singida (Picha na Doris Meghji) |
![]() |
| Wana CCM wakimsubiri Mh. Edward Lowassa kwa ajili ya kumdhamini mgombea huyo mkoani Singida leo katika viwanja vya CCM mkoa wa Singida( Picha na Doris Meghji) |
![]() |
| baadhi ya wanachama wanawake wa ccm waliofika katika zoezi la kumdhamini Mh. Mgombea Urasi Edward Lowassa (Picha na Doris Meghji) |
![]() |
| Baadhi ya wazee wakimsubiri Mgombea wa nafasi ya urais leo Mh. Edward Lowassa katika viwanja va CCM mkoa wa Singida (Picha na Doris Meghji) |
![]() |
| Mh. Edward Ngoyai Lowassa akiwasalimia leo wananchi waliofika kumlaki katika zoezi la kutafuta wadhamni wa CCM kwenye ugombea urais kwa tiketi ya CCM.( Picha na Doris Meghji) |
![]() |
| Mh. Edward Lowassa akisalimia wananchi n na viongozi wa wanachama wa CCM mkoa wa Singida leo katika ofisi za CCM mkoa wa Singida (Picha na Doris Meghji) |








No comments:
Post a Comment