| hii ni dalili ya msimu wa mvua kuuanza wananchi wa manispaa ya singida nimuda wa kuandaa mashamba |
Ni mazao ya kipaumbele ya mtama,uwele,viazi vitamu mhogo bila kusahau alizeti,na vitunguu maji kwa ardhi na uchache wa mvua za mkoa wa singida.
| maandalizi ya mashamba ni sasa hasa kwa mvua za mkoa huu |
Ewe mkulima wa mkoa huu wa singida huu ndio muda wa maandalizi ya mashamba kwa ajili ya msimu wa kilimo mwaka 2013 - 2014.
No comments:
Post a Comment